E NEWS

Majina ya Wanaume na Sifa Zao Katika Mapenzi

Majina ya Wanaume na Sifa Zao Katika Mapenzi
Written by Samiry Tigger
Majina ya Wanaume na Sifa Zao Katika Mapenzi

Katika pitapita na mihangaiko mingi tuliyonayo wanadamu huwa tunapata fursa ya kukutana na watu wa aina tofauti tofauti.

Pamoja na utofauti wa sura, umri, maumbo n.k ila kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mtu na jina. Mara nyingi majina hufanya tabia za watu zifanane.

RELATED: Majina ya wanawake na sifa zao katika mapenzi

Utasikia huyu mtoto alipewa jina la marehemu Babu yake na amekuwa na tabia kama za Babu yake.

Ushauri wangu ni kwamba Tafadhali jalibu kumwita mtoto wako jina “Benard” unless kama unataka awe mtu mwenye matukio ya ajabu ajabu katika jamii yake.

Ebu pitia-pitia majina na tabia zao alafu utuambie kuna ukweli kiasi gani hapo….!!!

Majina ya Wanaume na Sifa Zao Katika Mapenzi

1:: Andrew – mapenzi ya tamthiliya

2:: Nicolas – muongo

3:: Albert – domo zege ila mjanja mjanja

4:: Mathias – anapenda mwanamke kwa muda mrefu

5:: Joseph/Josephat/yusuph – kicheche

6:: Jeryson – anapenda mademu ila wanawake wanamkataa

7:: Shadrack – anapenda sifa kwa mademu

8:: Richard – ana wapenzi wengi ila msiri

9:: Mathew – anapendwa na wanawake ila domo zege

10:: Thomas – anapendwa na mademu ila hajatulia

11:: Prosper – hajui habari za mapenzi

12:: Fidelis – mtaalam wa kutongozea mademu wenzie au kuwadi

13:: Aaron – maneno mengi ila vitendo sifuri

14:: Costantine – wanapenda kutongoza hovyo ingawaje wana mpenzi mwaminifu

15:: Elvis – handsome ila hapendwi na mademu

16:: Edward – serious sana kwenye mapenzi

17:: Moses/Mussa – mwepesi kutongoza na mwepesi kuwacha

18:: Ally/Elly – wasiri sana kwenye mapenzi

19:: Mohammedy – anapenda watu waliomzidi umri

RELATED: Henry Cavill reveals fired from Superman role just…

20:: Nickson – wakiingia kwenye mapenzi wanatendwa vibaya

21:: Alpha – wanapenda sifa kwa wanawake ili wapendwe

22:: Jimmy – wana mapenzi ya kejeli

23:: Elias – wanapenda mademu ila wanaogopa kuwaambia

24:: Frank – huyu mpole wanawake wanajitongozesha wenyewe

25:: Joachim – hana habari na mademu,anaamini ipo ataoa tu

26:: Omary – anapenda achape tu atembee

27:: Steven – hana habari kabisa na wanawake ila ana bahati ya kupendwa

28:: Gerald – mpole na antulia na mpenzi mmoja kwa mda mrefu

29:: Elisha – anapenda wanawake wanaochukiwa katika jamii

30:: Benard – akipenda kapenda

31:: Juma – hawa kazi yao ni kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa

32:: Kassimu – anapend utukufu na kusifiwa hata na mkewe

33:: Khalid – msumbufu na anapenda kupedwa kuliko kupenda wanawake

34:: Daniel – anawivu sana mjanja na anapenda kujua mambo yaliyojuu ya uwezo wake

35:: Said – hajui kupenda na huwa anatamaa hasa kwa bint weupe

36:: Rajabu – mgumu kumuamin mwenza wake

37:: David – Kupenda kujionesha mbele ya wanawake kwamba anauwezo mkubwa hata kama hana

38:: Farid – Mpenda wanawake warefu wenye mwanya na shepu

39:: Rama – hupenda kusikilizwa yeye tuu na anapenda wanawake wenye makalio makubwa hasa wanene

40:: Seleman – anapenda ngono

41:: Issa – huwa na msimamo hasa katika maamuzi yake hat kwa mwenza wake

42:: Fadhili – vitu vyake ni vya siri saana na hata mwenza wake ni ngumu kujua

43:: Charles – Hapend kudumu katika mahusiano na hupenda kuwa pek yake

44:: Karimu – hupenda kuwa na wanawake weupe

45:: Laurence – hunyanyasika kwenye mahusiano hata huweza kulia hovyo

46:: Masoud – anajua kujali na kuheshimu ndoa yake ila mkali sana

47:: Hamad – mpole pia hapend kutoa siri zake kwa mwenza wake pia hupend kunyenyekew na mpenz wake

48:: Hasani – hupenda kupewa kuliko kutoa hata kwa wenza Wap

49:: Alen – hupenda kulaumu hata kwa jambo dogo na hupend wanawak weupe

50:: Luka – wanapenda kwa mda ukijichanganya utaumia ukiwa nae

51:: Jafari – Hupenda wake za watu

52:: Ivo – muongo kwenye mapenzi na kutongoza na mwepesi kuwacha,anapendwa na mademu ila hajatulia,kuchafua wanawake wa mtaani na jamii inayozungukwa,anapenda ngono n.k.

Majina ya Wanaume na Sifa Zao Katika Mapenzi

Keep on visiting our Website  for more updates

About the author

Samiry Tigger

Leave a Comment